Kum. 18:16 SUV

16 Kama vile ulivyotaka kwa BWANA, Mungu wako, huko Horebu, siku ya kusanyiko, ukisema, Nisisikie tena sauti ya BWANA, Mungu wangu, wala nisiuone tena moto huu mkubwa, nisije nikafa.

Kusoma sura kamili Kum. 18

Mtazamo Kum. 18:16 katika mazingira