Kum. 2:19 SUV

19 na utakaposongea kuwaelekea wana wa Amoni, usiwasumbue wana wa Amoni, wala usishindane nao; kwa kuwa sitakupa katika nchi ya hao wana wa Amoni kuwa milki yako; kwa sababu nimewapa wana wa Lutu iwe milki yao.

Kusoma sura kamili Kum. 2

Mtazamo Kum. 2:19 katika mazingira