Kum. 24:19 SUV

19 Uvunapo mavuno yako katika shamba lako, ukasahau mganda shambani, usirudi kuuchukua; na uwe wa mgeni, au yatima, au mjane; ili BWANA, Mungu wako, akubariki katika kazi yote ya mikono yako.

Kusoma sura kamili Kum. 24

Mtazamo Kum. 24:19 katika mazingira