Kum. 28:29 SUV

29 utakwenda kwa kupapasa-papasa mchana, kama apapasavyo kipofu gizani, wala hufanikiwi katika njia zako; nawe sikuzote utaonewa na kutekwa nyara, wala hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.

Kusoma sura kamili Kum. 28

Mtazamo Kum. 28:29 katika mazingira