Kum. 28:31 SUV

31 Ng’ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako, usile nyama yake; utanyang’anywa punda wako mbele ya uso wako kwa jeuri, usirudishiwe; kondoo zako watapewa adui zako, usipate mtu wa kukuokoa.

Kusoma sura kamili Kum. 28

Mtazamo Kum. 28:31 katika mazingira