Kum. 3:16 SUV

16 Na Wareubeni na Wagadi niliwapa tokea Gileadi mpaka bonde la Arnoni, katikati ya bonde, na mpaka wake; mpaka mto wa Yaboki, nao ni mpaka wa wana wa Amoni;

Kusoma sura kamili Kum. 3

Mtazamo Kum. 3:16 katika mazingira