Kum. 31:16 SUV

16 BWANA akamwambia Musa, Angalia, wewe utalala na baba zako; na watu hawa wataondoka, wataifuata kwa ukahaba miungu ya kigeni ya nchi waiendeayo kuwa kati yao, nao wataniacha mimi na kulivunja agano langu, nililofanya nao.

Kusoma sura kamili Kum. 31

Mtazamo Kum. 31:16 katika mazingira