24 mkasema, Tazama, BWANA, Mungu wetu, ametuonyesha utukufu wake, na ukuu wake, nasi tunasikia sauti yake toka kati ya moto; mmeona leo ya kuwa Mungu husema na mwanadamu, naye akaishi.
Kusoma sura kamili Kum. 5
Mtazamo Kum. 5:24 katika mazingira