Kut. 33:11 SUV

11 Naye BWANA akasema na Musa uso kwa uso, kama vile mtu asemavyo na rafiki yake. Kisha akageuka akarejea hata maragoni; bali mtumishi wake Yoshua, mwana wa Nuni, naye ni kijana, hakutoka mle hemani.

Kusoma sura kamili Kut. 33

Mtazamo Kut. 33:11 katika mazingira