Kut. 37:17 SUV

17 Kisha akakifanya kile kinara cha taa cha dhahabu safi, akakifanya kile kinara cha taa cha kazi ya kufua, tako lake, na mti wake; vikombe vyake, na matovu yake, na maua yake, vyote vilikuwa vya kitu kimoja nacho,

Kusoma sura kamili Kut. 37

Mtazamo Kut. 37:17 katika mazingira