Mik. 5:4 SUV

4 Naye atasimama, na kulisha kundi lake kwa nguvu za BWANA, kwa enzi ya jina la BWANA, Mungu wake; nao watakaa; maana sasa atakuwa mkuu hata miisho ya dunia.

Kusoma sura kamili Mik. 5

Mtazamo Mik. 5:4 katika mazingira