Mik. 7:1 SUV

1 Ole wangu! Maana mimi ni kama hapo walipokwisha kuyachuma matunda ya wakati wa hari, kama zabibu zichumwazo baada ya mavuno; hapana shada la kuliwa; roho yangu inatamani tini iivayo kwanza.

Kusoma sura kamili Mik. 7

Mtazamo Mik. 7:1 katika mazingira