Mik. 7:17 SUV

17 Watayaramba mavumbi kama nyoka, kama vitu vitambaavyo juu ya nchi watatoka katika mahali walimojificha, wakitetemeka; watakuja kwa BWANA, Mungu wetu, kwa hofu, nao wataogopa kwa sababu yako.

Kusoma sura kamili Mik. 7

Mtazamo Mik. 7:17 katika mazingira