Mwa. 12:5 SUV

5 Abramu akamchukua Sarai mkewe, na Lutu mwana wa nduguye, na vitu vyao vyote walivyokuwa wamejipatia na hao watu waliowapata huko Harani, wakatoka ili kwenda nchi ya Kanaani; nao wakaingia katika nchi ya Kanaani.

Kusoma sura kamili Mwa. 12

Mtazamo Mwa. 12:5 katika mazingira