Mwa. 17:19 SUV

19 Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.

Kusoma sura kamili Mwa. 17

Mtazamo Mwa. 17:19 katika mazingira