Mwa. 27:46 SUV

46 Rebeka akamwambia Isaka, Rohoni mwangu sina raha kwa sababu ya hao binti za Hethi. Kama Yakobo akitwaa mke katika binti za Hethi, kama hawa binti za nchi, maisha yangu yatanifaidia nini?

Kusoma sura kamili Mwa. 27

Mtazamo Mwa. 27:46 katika mazingira