Mwa. 3:6 SUV

6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.

Kusoma sura kamili Mwa. 3

Mtazamo Mwa. 3:6 katika mazingira