Mwa. 31:43 SUV

43 Labani akajibu, akamwambia Yakobo, Hao binti ni binti zangu, na wana ni wanangu, na wanyama ni wanyama wangu, na yote uyaonayo ni yangu; nami naweza kuwatendea nini leo binti zangu na wana wao waliowalea?

Kusoma sura kamili Mwa. 31

Mtazamo Mwa. 31:43 katika mazingira