Mwa. 31:42 SUV

42 Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Ibrahimu na Hofu ya Isaka, hangalikuwa pamoja nami, hakika sasa ungalinifukuza mikono mitupu. Mateso yangu na kazi za mikono yangu Mungu ameziona, akakukemea usiku huu.

Kusoma sura kamili Mwa. 31

Mtazamo Mwa. 31:42 katika mazingira