Mwa. 38:11 SUV

11 Yuda akamwambia Tamari mkwewe, Ukae mjane nyumbani mwa baba yako hata Shela mwanangu atakapokuwa mtu mzima, maana alisema, Asipate kufa yeye kama nduguze. Basi Tamari akaenda, akakaa nyumbani mwa babaye.

Kusoma sura kamili Mwa. 38

Mtazamo Mwa. 38:11 katika mazingira