Mwa. 38:12 SUV

12 Siku nyingi zikapita, akafa binti Shua, mkewe Yuda. Yuda akafarijika, akaenda kwa watu wake wawakatao manyoya kondoo huko Timna, yeye na mwenzake Hira, Mwadulami.

Kusoma sura kamili Mwa. 38

Mtazamo Mwa. 38:12 katika mazingira