Mwa. 39:5 SUV

5 Ikawa tokea wakati alipomweka awe msimamizi juu ya nyumba yake, na vyote vilivyomo, BWANA akabariki nyumba ya yule Mmisri kwa ajili ya Yusufu. Mbaraka wa BWANA ukawa juu ya vyote alivyokuwa navyo katika nyumba, na katika shamba.

Kusoma sura kamili Mwa. 39

Mtazamo Mwa. 39:5 katika mazingira