Mwa. 41:15 SUV

15 Farao akamwambia Yusufu, Nimeota ndoto, wala hakuna awezaye kunifasiria; nami nimesikia habari zako, ya kwamba, usikiapo ndoto, waweza kuifasiri.

Kusoma sura kamili Mwa. 41

Mtazamo Mwa. 41:15 katika mazingira