Mwa. 44:16 SUV

16 Yuda akasema, Tumwambie nini bwana wangu? Tusemeje! Tujivutieje haki? Mungu ameona uovu wa watumwa wako. Tazama, sisi ni watumwa wa bwana wangu, sisi na yeye ambaye kikombe kilionekana mkononi mwake.

Kusoma sura kamili Mwa. 44

Mtazamo Mwa. 44:16 katika mazingira