Mwa. 44:18 SUV

18 Ndipo Yuda akamkaribia, akasema, Tafadhali, bwana wangu, mtumwa wako na aseme neno moja masikioni mwa bwana wangu, wala hasira yako isimwakie mtumwa wako, maana wewe u kama Farao.

Kusoma sura kamili Mwa. 44

Mtazamo Mwa. 44:18 katika mazingira