Mwa. 47:1 SUV

1 Ndipo Yusufu akaja akamwarifu Farao, akasema, Baba yangu, na ndugu zangu, na kondoo zao, na ng’ombe zao, na yote waliyo nayo, wamekuja kutoka nchi ya Kanaani, nao wako katika nchi ya Gosheni.

Kusoma sura kamili Mwa. 47

Mtazamo Mwa. 47:1 katika mazingira