Mwa. 47:19 SUV

19 Kwa nini tufe mbele ya macho yako, sisi na nchi yetu? Utununue sisi na nchi yetu kwa chakula, na sisi na nchi yetu tutakuwa watumwa wa Farao; kisha utupe mbegu, tuishi wala tusife, wala nchi yetu isipotee.

Kusoma sura kamili Mwa. 47

Mtazamo Mwa. 47:19 katika mazingira