20 Basi Yusufu akamnunulia Farao nchi yote ya Misri; maana Wamisri waliuza kila mtu shamba lake; kwa sababu njaa ilikuwa imewazidi sana, nchi ikawa mali yake Farao.
Kusoma sura kamili Mwa. 47
Mtazamo Mwa. 47:20 katika mazingira