Mwa. 48:14 SUV

14 Israeli akanyosha mkono wake wa kuume akauweka juu ya kichwa cha Efraimu, aliyekuwa mdogo, na mkono wake wa kushoto akauweka juu ya kichwa cha Manase, huku akijua atiavyo mikono; maana Manase ndiye aliyezaliwa kwanza.

Kusoma sura kamili Mwa. 48

Mtazamo Mwa. 48:14 katika mazingira