16 naye Malaika aliyeniokoa na maovu yote, na awabariki vijana hawa; jina langu na litajwe juu yao, na jina la baba zangu, Ibrahimu na Isaka; na wawe wingi wa watu kati ya nchi.
Kusoma sura kamili Mwa. 48
Mtazamo Mwa. 48:16 katika mazingira