Mwa. 48:17 SUV

17 Yusufu alipoona kwamba babaye anaweka mkono wake wa kuume juu ya kichwa cha Efraimu, ikawa vibaya machoni pake. Akauinua mkono wa babaye auondoe katika kichwa cha Efraimu, ili auweke juu ya kichwa cha Manase.

Kusoma sura kamili Mwa. 48

Mtazamo Mwa. 48:17 katika mazingira