Mwa. 48:19 SUV

19 Babaye akakataa, akasema, Najua, mwanangu najua, yeye naye atakuwa taifa, yeye naye atakuwa mkuu; lakini ndugu yake mdogo atakuwa mkubwa kuliko yeye, na uzao wake watakuwa wingi wa mataifa.

Kusoma sura kamili Mwa. 48

Mtazamo Mwa. 48:19 katika mazingira