6 Nafsi yangu, usiingie katika siri yao,Fahari yangu usiungane na kusanyiko lao,Maana katika ghadhabu yao walimuua mtu,Na kwa ukaidi wao walikata mshipa wa ng’ombe;
Kusoma sura kamili Mwa. 49
Mtazamo Mwa. 49:6 katika mazingira