Mwa. 6:16 SUV

16 Uifanyie safina mwangaza, ukaumalize juu kiasi cha mkono mmoja; ukautie mlango wa safina katika ubavu wake; ukaifanyie dari tatu, ya chini, ya pili, na ya tatu.

Kusoma sura kamili Mwa. 6

Mtazamo Mwa. 6:16 katika mazingira