10 Bali BWANA ndiye Mungu wa kweli;Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele;Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka,Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.
Kusoma sura kamili Yer. 10
Mtazamo Yer. 10:10 katika mazingira