Yer. 14:19 SUV

19 Je! Umemkataa Yuda kabisa? Roho yako imeichukia Sayuni? Mbona umetupiga, tusiwe na dawa ya kutuponya? Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yo yote, tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!

Kusoma sura kamili Yer. 14

Mtazamo Yer. 14:19 katika mazingira