3 Na wakuu wao huwatuma watoto wao kwenye maji;Nao hufika visimani wasione maji;Hurudi, na vyombo vyao ni vitupu;Wametahayarika na kufadhaika,Na kuvifunika vichwa vyao.
Kusoma sura kamili Yer. 14
Mtazamo Yer. 14:3 katika mazingira