13 Ee BWANA, tumaini la Israeli, wote wakuachao watatahayarika. Wao watakaojitenga nami wataandikwa katika mchanga, kwa sababu wamemwacha BWANA, kisima cha maji yaliyo hai.
Kusoma sura kamili Yer. 17
Mtazamo Yer. 17:13 katika mazingira