Yer. 18:20 SUV

20 Je! Mabaya yalipwe badala ya mema? Maana wameichimbia nafsi yangu shimo. Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele zako, ili niseme mema kwa ajili yao, nikaigeuze ghadhabu yako isiwapate.

Kusoma sura kamili Yer. 18

Mtazamo Yer. 18:20 katika mazingira