5 Tazama siku zinakuja, asema BWANA, nitakapomchipushia Daudi Chipukizi la haki; naye atamiliki mfalme, atatenda kwa hekima, naye atafanya hukumu na haki katika nchi.
Kusoma sura kamili Yer. 23
Mtazamo Yer. 23:5 katika mazingira