Yer. 24:9 SUV

9 Naam, nitawatoa watupwe huko na huko katika falme zote za dunia, wapate mabaya; wawe kitu cha kulaumiwa, na mithali, na dhihaka, na laana, katika mahali pote nitakapowafukuza.

Kusoma sura kamili Yer. 24

Mtazamo Yer. 24:9 katika mazingira