Yer. 26:11 SUV

11 Ndipo hapo makuhani, na manabii, wakawaambia wakuu na watu wote, wakisema, Mtu huyu amestahili kufa, kwa sababu ametabiri juu ya mji huu, kama mlivyosikia kwa masikio yenu.

Kusoma sura kamili Yer. 26

Mtazamo Yer. 26:11 katika mazingira