Yer. 27:16 SUV

16 Pia nalisema na makuhani, na watu wote, nikisema, BWANA asema hivi, Msisikilize maneno ya manabii wenu, wanaowatabiria, wakisema, Tazameni, vyombo vya nyumba ya BWANA, baada ya muda kidogo, vitaletwa tena toka Babeli; maana wanawatabiria uongo.

Kusoma sura kamili Yer. 27

Mtazamo Yer. 27:16 katika mazingira