Yer. 27:18 SUV

18 Lakini ikiwa hao ni manabii, na ikiwa neno la BWANA liko kwao, basi na wamwombe BWANA wa majeshi, kwamba vyombo vile vilivyosalia katika nyumba ya BWANA, na katika nyumba ya mfalme wa Yuda, na hapa Yerusalemu, visiende Babeli.

Kusoma sura kamili Yer. 27

Mtazamo Yer. 27:18 katika mazingira