Yer. 27:20 SUV

20 ambavyo Nebukadreza, mfalme wa Babeli, hakuvichukua, hapo alipomchukua Yekonia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, toka Yerusalemu mpaka Babeli, pamoja na wakuu wote wa Yuda, na Yerusalemu;

Kusoma sura kamili Yer. 27

Mtazamo Yer. 27:20 katika mazingira