Yer. 28:15 SUV

15 Kisha nabii Yeremia akamwambia nabii Hanania, Sikia sasa, Ee Hanania; BWANA hakukutuma; lakini unawatumainisha watu hawa maneno ya uongo.

Kusoma sura kamili Yer. 28

Mtazamo Yer. 28:15 katika mazingira