Yer. 28:6 SUV

6 naam, nabii Yeremia akasema, Amina, BWANA na atende hivi; BWANA ayatimize maneno yako uliyotabiri, kuvirudisha hapa vyombo vya nyumba ya BWANA na watu wote waliofungwa, toka Babeli, hata mahali hapa.

Kusoma sura kamili Yer. 28

Mtazamo Yer. 28:6 katika mazingira