19 Kwa sababu hawakusikiliza maneno yangu, asema BWANA, ambayo naliwatuma watumishi wangu, hao manabii, nikiamka mapema, na kuwatuma; lakini hamkutaka kusikiliza, asema BWANA.
Kusoma sura kamili Yer. 29
Mtazamo Yer. 29:19 katika mazingira