Yer. 29:32 SUV

32 basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitamwadhibu Shemaya, Mnehelami, na wazao wake; hatakuwa na mtu atakayekaa katika watu hawa, wala hatayaona mema nitakayowatendea watu wangu, asema BWANA; kwa sababu amenena maneno ya uasi juu ya BWANA.

Kusoma sura kamili Yer. 29

Mtazamo Yer. 29:32 katika mazingira