Yer. 30:11 SUV

11 Maana mimi ni pamoja nawe, asema BWANA, nikuokoe; maana nitawakomesha kabisa mataifa yote huko nilikokutawanya, bali sitakukomesha wewe kabisa; lakini nitakurudi kwa hukumu, wala sitakuacha bila adhabu.

Kusoma sura kamili Yer. 30

Mtazamo Yer. 30:11 katika mazingira